![Mr Uky](/img/default-banner.jpg)
- Видео 68
- Просмотров 2 917 591
Mr Uky
Добавлен 20 сен 2023
SABABU ZA KU SUBSCRIBE MY RUclips
1.Na tengeneza video zenye Hualisia Wa maisha tunayo yahishi.
2.Na Burudisha na Kuhelimisha Jamni inayo tuzungunga
3.Na timinza ndoto za kufanya kitu nacho kipenda
1.Na tengeneza video zenye Hualisia Wa maisha tunayo yahishi.
2.Na Burudisha na Kuhelimisha Jamni inayo tuzungunga
3.Na timinza ndoto za kufanya kitu nacho kipenda
Видео
JUMBA LA KUTISHA 1870
Просмотров 9 тыс.12 часов назад
Nilienda kuangalia location nikakutana na jumba lakutisha
MAPENZI YA BODABODA YAME MPONZA
Просмотров 43 тыс.14 часов назад
Bodaboda katupeleka ka amua kuwakutanisha wanaume wawili wa dada mmoja
BAADA YA MIAKA 8 RINA AMUOMBA MSAMA SHEY
Просмотров 13 тыс.19 часов назад
Rina Kaamua kumuomba shay baada ya miaka 8
MWANAUME WANGU AME GAILISHA NDOA KISA LAFIKIANGU
Просмотров 34 тыс.День назад
MWANAUME WANGU AME GAILISHA NDOA KISA LAFIKIANGU
MAPENZI YA WAGOMBANISHA SIKU YA BITHDAY
Просмотров 54 тыс.14 дней назад
Zawadi yakeki na Iphone 14 pro max zimegeuka chungu
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE
Просмотров 70 тыс.14 дней назад
Kachukua mpenzi wa mwenzake alafu analeta gumbo
KACHUKUA MPENZI WA LAFIKI AKE
Просмотров 37 тыс.21 день назад
Carren kachukua mpenzi wa lafikiake na Analeta Kibibi
LISSAH NA JACKLIN NANI NI EX WA NED!
Просмотров 40 тыс.28 дней назад
Ned Ana ludi kwa ex wake na mpenzi wake ame Mashuka
MAMA KUONANA NA MWANAE BAADA YA MIAKA 4
Просмотров 164 тыс.2 месяца назад
MAMA KUONANA NA MWANAE BAADA YA MIAKA 4
Msamehe mama yako pumbavu kabsa mama anakupigia magoti, huyo mtt macho makavuu.. Sh
Chezra mabaharia ww wataliwa wote hao mashem wenyewe hawa wa kibongo mmmmh
Daaah aise kuna wanaume wengeni hawana bahati sana kwakweli yani kupata. Mwanamke kama huyu
Mr uky amechukuaaa hela zakee watu hamuangalii video hadi mwishooo😂😂😂😂🙌🙌
Du msamee tu happy mama uyo
Single tujuane 😂😂😂
Wakiitwa mbwa wanabisha
Kwanza iyo shem darling vip
Huyu sio rafiki ni adui na bado hataki kuonana na mwenzie kajua kakosea na midomo kubibitua wanawake tujifunze kikulacho ki nguoni mwako na majibu ya kijinga😏
We mwalihego
Aliesema wanawake viumbe dhaifu sidhani kama aliwahi kuwafanyia challenge wanaume, maana hawaruki 😅😅
Usimtambulishe shogaako Kwa mwanaume wako wakati wewe sio mzuli kushinda shogaako Ila yote tutafute furus💵💰
Kata nipeni hela zangu😂😂😂
Mbona hii imepooza au ya mchongo😂😂😂
Ila sisi wanaume ni wadhaifu sana
Yaani madada mengine ya hovyooooo sana yaani mtu amekuulizeni tufanye challenge hivi na hivi na umemkubalia rafiki Yako tena unaanza kunchukia rafiki Yako anakosa Gani Sasa hapo?hivyo kabisa na kimini chako et ndo sketi mguu wenyewe wa kuvalia kimini huna 😂😂😂hivyo kabisaa 😏😏😏😏
Yan kimcjepuk kinajickia chenyew kina sur ngumu Kam flar ya magimb tna iliyolala 😏😏😏
Nitabaki kuwa single hawa viumbe wanaoitwa wanaume aisee wanipishe.
Mnapenda kugombanisha watu mbwa nyinyi😅😅
Sitaki mahusiano kabisa kama ndo hivi
Masudi kanichekesha eti duu
Mbonaaa unawadaiii Elaaa Hayaaa maigizoo bhnaaa , , 🤣🤣🤣🤣Japo sometimes yanatokeaaa kwenyee maishaa lakin tunataman utuleteeee vitu real
Tatizo ilo 😂
Alafu mimi haya mazoeya yakumwita mpenzi wangu shem darling siyapendi
Mapenzi nyoko kudadeki😅😅😅😅
Alivyosikia mke wangu kacheka mwenyew
😂😂😂
Huyu mwanamke wake anaonekana mdomo mwingi sana ndio maana mume wake Amfata huyu mwingine mstarabu mkewe sio mstarabu atakama mume wake anamakosa sio hivo
Tumemuona Og😅
Halafu kama mbona mnaanza kutupanga?
Bi haishaaaaaa😂😂😂😂😂
Wadada ukiwa na shoga ako afu Hana mpenzi ujue nimke mwenzio huyo sitawaambia Kila kitu Kama huyo eti Shem darling oyaa 😂😂😂😂
😂😂 mapenzi shijamoo
Nami natamani nikutanishwe na rafiki yangu 7:44
Nami natamani nikutanishwe na rafiki yangu
hivi hao wanaume ni wawapi wahuni ivo? mbona uku kwetu hawapo wahivo
Daaaangoja ninyamaze mtu anadeka ata afanani😅😅😅😅😅😅 😂😂😂😂😂
Kumbe na mkosea mpenz wang kumbe kila mwanaume anaitwa baby😢
Aiseeeee hivi viumbe 😢
Mbona nipeni hela yangu haya ni maigizo😊
😂
Kumbe tumesikia wote😂😂
Atari na nusu
😅😅😅😅 mapenz nyoko 😏😏
Hvi hii huwa ni kweli au kuna watu wanapangwa
Mr uky bhana 🤣🤣 eti ila wanaume,Kwan we pia si mwanaume 😂
Mbona tena nipeni hela zanguu😅😅😅😅😅😅😅😅😂
Kumbe na ww umeskia hahah
@@salmakasim8390 Ndiyoo wanatudanganya hawa mbwa 😂😂😂
Wanaumeee eeeeh wanaumeeeh eeeh wanaumeee ni wapumbavu
Kumbe haya huwa ni maigizo bhaana mwishoni hapo nimesikia nipeni hela zangu😂😂😂
😂😂😂 Twapigwa mchana kweupeee
Sasa mbona huyo wa mwanzo wanaitana mke??? Mr Uk tufafanulie
Marafiki shikamoo
Mr Uky jaman unavunja mahusiano ya watu 😂😂😂😂
anavunja ama anasaidia kuwachomoa wapumbavu
Shem darliing